Mahakama ya simu, Tandale kwa Mtogole Eneo maarufu jijini Dar es Salaa translation - Mahakama ya simu, Tandale kwa Mtogole Eneo maarufu jijini Dar es Salaa English how to say

Mahakama ya simu, Tandale kwa Mtogo

Mahakama ya simu, Tandale kwa Mtogole
Eneo maarufu jijini Dar es Salaam ambalo linasifika kwa matukio ya uhalifu ya kudumu ni Tandale kwa Mtogole maarufu kama ‘mahakama ya simu’ kutokana na kukithiri kwa wizi wa simu za mkononi.
Jambo la ajabu ni kuwa ukiibiwa simu yako unaweza kuipata ileile lakini kwa bei watakayokupangia.
Watu mbalimbali waliozungumzia suala hilo wakiwamo wapigadebe na waendesha bodaboda wanasema wezi wengi wa simu ni ‘mateja’ ambao wanaweza kuiba simu yenye thamani ya Sh500,000, kuiuza kwa kati ya Sh50,000 hadi 100,000.
Mchuuzi wa vocha katika eneo hilo, Raymond Richard anasema hazipiti saa mbili kabla ya watu kuibiwa hapo.
“Siyo simu tu, hawa kina mama huibiwa sana pochi zao wakiwa katika magari. Wanaiba mchana kweupe kabisa, wapo wanaokamatwa na kupigwa na wengine hufanikiwa kukimbia,” anasema Richard na kuongeza: “Mfano wiki mbili zilizopita kuna jamaa alipigwa hadi kufa baada ya kuiba huko Kwa Tumbo na kukimbilia hapa (Kwa Mtogole).”
Inaelezwa kuwa wezi hao huthubutu kuwaibia wanawake wigi wakiwa kwenye magari… “Utashangaa weaving linachomolewa na kibaka anakimbia nalo,” anasema mkazi wa eneo hilo, Chilo Yusufu.
Mama lishe katika eneo hilo, Zainab Omary anasema wezi hao wamebuni njia mpya, hupanda katika mabasi na kuwaelekeza wenzao walioko kituoni, abiria wenye simu nzuri na pochi.
“Siku hizi ndiyo mtindo wao, mmoja anaweza kupanda basi mbali tu na kuwafuatilia abiria, baadaye huwajulisha wenzake na basi likifika tu kwa Mtogole mtu huibiwa,” anasema huku akisisiza kuwa wanawajua wezi wote wa eneo hilo kwa majina na wanapoishi.
Katika muda ambao mwandishi wetu alikuwa katika eneo hilo, alishuhudia vibaka hao wakirandaranda pembeni ya kila daladala lililokuwa likisimama kituoni, huku abiria wanaoelewa sifa za mahali hapo wakifunga vioo kukwepa kukwapuliwa simu na vitu mbalimbali.
Barabara ya Kilwa, Temeke, Mtoni Mtongani
Eneo la Mtoni Mtongani karibu na Mto Mzinga nako kuna kundi la vijana wanaofanya uporaji wa simu na vitu vingine vya thamani kutoka kwenye magari yanayokuwa kwenye foleni.
Eneo hilo lililopo katika Barabara ya Kilwa, wilayani Temeke, ni miongoni mwa maeneo yanayokuwa na foleni kubwa jijini Dar es Salaam na vibaka ambao wengi wao wanatajwa kuwa wanatokea Temeke, Tandika na Mbagala, hupita kwenye magari na kukwapua simu.
Wakazi wa eneo hilo, wanasema kundi la vijana hao limeongezeka katika siku za hivi karibuni kiasi kwamba sasa wameanza kuiba vitu hata mchana tofauti na zamani.
Mwenyekiti wa Mtaa wa Mtongani, Khamisi Mtongo anasema eneo hilo limekuwa hatari kwa muda mrefu, lakini hakuna jitihada za kutosha zilizofanyika ‘kulisafisha’.
“Zamani ilikuwa ikifika saa 12 jioni, hakuna mtu aliyekuwa anapita kwa miguu. Pale ilikuwa lazima uporwe. Hali hiyo bado inaendelea japokuwa imepungua kidogo,” anasema Mtongo.
Akizungumzia namna vijana hao wanavyotekeleza uhalifu, Mtongo anasema baadhi yao mchana huosha magari kando ya Mto Mzinga, lakini inapofika jioni husogea barabarani na kuanza kupora vitu.
Mkazi wa Mtoni Kijichi, Meshack Lauwo anasema mbali na vibaka kupora simu, wamekuwa waking’oa vitu kwenye magari yaliyoharibika.
“Ole wako gari likuharibikie pale usiku. Watakuja kujifanya wanataka kukusaidia, ukizubaa wanaanza kufungua taa uko hapo hapo,” anasema Lauwo ambaye ni fundi cherehani.
Kaimu Kamanda Mkoa wa Kipolisi wa Temeke, Zakaria Sebastian anasema ataongeza nguvu katika eneo hilo, ingawa kila siku polisi hutakiwa kufika hapo kuanzia saa moja hadi saa tatu foleni inapokuwa imepungua.
Kamanda huyo anasema, baadhi ya vibaka wanatumia pikipiki kufanya uporaji hasa wa mikoba ya wanawake.
“Nitawasiliana na wahusika waongeze nguvu katika eneo hilo,” anasema Sebastian.
Pia uchunguzi umebaini kuwa katika maeneo ya Temeke Mwisho na Tandika, kuna vijana wanaochomoa fedha na simu mifukoni.
Katika eneo la Tandika, kundi la vijana ambao hupenda kugawanyika katika makundi ya watu watatu, huwavizia wapita njia na abiria katika kituo cha daladala ili kuwaibia.
Mfanyabiashara ya urembo, Celina Mtavangu anasema kuwa mmoja wa vijana hao akishachomoa simu au fedha kutoka kwa mteja, humpatia mwenzake haraka na kuondoka eneo la tukio.
Uzunguni nako hatari
Mbali na maeneo ya ‘uswazi’ ambayo husifika kwa uporaji, eneo la katikati ya jiji hasa la Barabara ya Barack Obama, Ocean Road si salama. Vibaka wengi huweka kambi kuanzia eneo la makutano ya barabara ya hiyo na ile ya Chimala.
“Kila siku watu wanalia wameporwa simu upande huu kuanzia Hospitali ya Ocean Road hadi Aga Khan. Madereva wa pikipiki huvizia watu waliomo ndani ya magari wanaotumia simu zao, huwagongea na wakishusha tu kioo huwapora simu na kutokomea.
“Vibaka hao wengi huonekana kuanzia saa 11 jioni na Wazungu wanaibiwa sana mitaa hiyo,” anasema mchuuzi wa bidhaa katika eneo hilo, Said Seleman.
Wakati Seleman akibainisha hayo, Fatma Ramadhan anasema alishaibiwa vitu vya thamani vya takriban Sh1 milioni baada ya vibaka kumtishia kwa panga rafiki yake aliyekuwa amemwacha kwenye gari pembezoni mwa barabara hiyo.
Anasema baada ya kuibiwa vifaa hivyo vikiwamo vidani na nguo, aliwatafuta baadhi ya vibaka anaofahamiana nao ambao waliingia katika ‘Msitu wa Gymkana’ kuwatafuta waliohisiwa kuiba pasi na mafanikio,
“Nashukuru kwamba waliziacha simu zilizokuwa kwenye eneo la gia. Ningekuwapo mimi najua wasingenifanyia vile ila yule dada aliogopa panga ndiyo maana aliwaachia. Tuliripoti kituoni tukio hilo lakini hadi sasa vitu havijapatikana,” anasema Fatma.

0/5000
From: -
To: -
Results (English) 1: [Copy]
Copied!
Court telephone, Tandale to Mtogole
Location prominent in Dar es Salaam which linasifika to crime scenes permanent Tandale to Mtogole popularly known as 'court number' due to widespread theft of mobile phones.
Curiously, it had been stolen your phone You can find the same but the price will kayokupangia.
Different people were talking about it, including the touts and operators boda boda say not many of the phone is the 'clients' who can steal a phone worth Sh500,000, sells for between Sh50,000 to 100,000.
Dealer voucher in the area, Raymond Richard says there zipiti two hours before people stolen there.
"It's not just a phone, these mothers are very robbed their wallets while in vehicles. They steal in broad daylight at all, there are some who arrested and beaten by other successful run, "says Richard, adding:" Example two weeks ago is no relative was beaten to death after a steal in for stomach and rushed here (For Mtogole). "
It is stated that not the dares rob women wig while on cars ... "You will be surprised weaving linachomolewa and burglar runs away with it," says a resident of the area, Chilo Joseph.
Mama nutrition in the area, Zainab Omary says not they have developed a new way, they embark on a bus and instruct others who are in the center, passengers with good phone and wallet.
"Today is their style, one can ride the bus off just to go after passengers, later told colleagues and then likifika only for Mtogole man robbed," he said while emphasizing that they know not all of the area with names and they live.
At the time that our reporter was in the area, he witnessed the thugs they were hanging beside each bus was stopping at the station, while passengers who understand the characteristics of the place where they scored mirrors circumvent kukwapuliwa phone with various objects.
The road to Kilwa, Temeke, Mtoni Mtongani
Area river Mtongani near the River hive and here there is a group of young people who did the looting of the phone and other valuables from vehicles, growing in line.
The area is located in the road Kilwa District Temeke, is among the growing, long queues in Dar es Salaam and thugs, many of whom are mentioned as they occur Temeke, Tandika and Mbagala, passes on cars and kukwapua phone.
Residents of the area, say a group of youths has increased in recent times that amount now begun to steal even a day different from the past.
Chairman of Mtongani Street, Khamisi Tongo says the area has become dangerous for a long time, but there is no adequate efforts undertaken 'washing'.
"In the past it was Then when at 12 pm, no one had been passed on foot. There had to be uporwe. The situation still remains though has declined a bit, "he said Tongo.
Referring to how young they are implementing crime, Tongo says some day to wash cars along the River hive, but arrives evening moves on the road and started to loot items.
Resident of the river Kijichi, Meshack Lauwo says off and thugs to loot the phone, have been weighed items on damaged vehicles.
"Woe to you car likuharibikie at night. They are going to pretend they want to help you, if you stared begin to open up the lights you immediately, "says Lauwo who is a tailor.
Acting Commander Regional Police Temeke, Zakaria Sebastian says he concentrated in the area, although every day the police have to get there from hour to hour Three queue when it has fallen.
The commander he says, some thugs use motorcycles to make looting especially the handbags of women.
"I will contact participants to add strength to the area," says Sebastian.
Also investigation revealed that in the Temeke Update and Tandika, there are young who took out the money and phone pockets.
In the area of Tandika, a group of teenagers who love to be divided into groups of three, the ambush passersby and passengers at the station bus to rob.
Retailer of beauty, Celina Mtavangu says that one of the youths was shachomoa phone or money from a client, gives another quickly and leave the scene.
Uzunguni from it risks
Apart from the areas of 'Swaziland' which is characterized by looting, the downtown area of the city especially the road to Barack Obama, Ocean Road is not safe. Many thugs encamped starting location of the intersection of it and that the Chimala.
"Every day people have been robbed of mobile text from the hospital on the other side of the Ocean Road to the Aga Khan. Drivers of motorcycles to wait in people who are into cars using their phone, they wagongea and letting only the glass is robbed phone with extinction.
"raping the most conspicuous starting at 11 pm and Europeans are stolen very streets that," says a vendor of goods in the area, Said Seleman .
When Seleman noting that, Fatma Ramadan says he shaibiwa precious things of approximately Sh1 million after thugs threatening to organize his friend who had been left in the car along the roadside that.
She says after stolen devices are amongst them the pendants and clothes, he sought some thugs he ofahamiana and who entered in the 'Forest of Gymkana' look for those suspected of stealing passports and prosperity,
"I appreciate that the phone had left the scene of the gears. Ningekuwapo I know, but he would not perform as planned sister was afraid that was why he left. Tuliripoti center event but so far things could not be found, "says Fatma.

Being translated, please wait..
 
Other languages
The translation tool support: Afrikaans, Albanian, Amharic, Arabic, Armenian, Azerbaijani, Basque, Belarusian, Bengali, Bosnian, Bulgarian, Catalan, Cebuano, Chichewa, Chinese, Chinese Traditional, Corsican, Croatian, Czech, Danish, Detect language, Dutch, English, Esperanto, Estonian, Filipino, Finnish, French, Frisian, Galician, Georgian, German, Greek, Gujarati, Haitian Creole, Hausa, Hawaiian, Hebrew, Hindi, Hmong, Hungarian, Icelandic, Igbo, Indonesian, Irish, Italian, Japanese, Javanese, Kannada, Kazakh, Khmer, Kinyarwanda, Klingon, Korean, Kurdish (Kurmanji), Kyrgyz, Lao, Latin, Latvian, Lithuanian, Luxembourgish, Macedonian, Malagasy, Malay, Malayalam, Maltese, Maori, Marathi, Mongolian, Myanmar (Burmese), Nepali, Norwegian, Odia (Oriya), Pashto, Persian, Polish, Portuguese, Punjabi, Romanian, Russian, Samoan, Scots Gaelic, Serbian, Sesotho, Shona, Sindhi, Sinhala, Slovak, Slovenian, Somali, Spanish, Sundanese, Swahili, Swedish, Tajik, Tamil, Tatar, Telugu, Thai, Turkish, Turkmen, Ukrainian, Urdu, Uyghur, Uzbek, Vietnamese, Welsh, Xhosa, Yiddish, Yoruba, Zulu, Language translation.

Copyright ©2025 I Love Translation. All reserved.

E-mail: